12 Novemba 2021
Pakua
Karibu kusikiliza jarida ambapo leo Mada yetu kwakina inatokea huko Glasgow Scotland ambapo mkutano wa 26 wa nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi COP26 ukiwa unafunga pazia mwanaharakati wa Mazingira Dkt. Sixbert Mwanga kutoka nchini Tanzania anasema Afrika pamoja na kuwa na kauli moja lakini haijafanikiwa kwenye mkutano huo.
Pia utasikia habari kwa ufupi na kupata fursa ya kujifunza kiswahili .
Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
9'56"