Pande zinazopigana nchini Sudan zatakiwa kusitisha mapigano
Ujumbe wa Kutafuta Ukweli wa Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan umesema pande zinazo zozana nchini humo lazima zijitolee kusitisha mapigano na kukomesha mashambulizi dhidi ya raia ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuna upatikanaji wa misaada ya kibinadamu bila vikwazo kwa mamilioni ya watu wenye uhitaji wa misaada ya dharura