Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Syria

Muongo wa vita Syria umewabebesha ghara kubwa wanawake na wasichana
© UNFPA Syria

Miaka 10 ya vita Syria jinamizi bado liko palepale:UN 

Wakati vita vya Syria vimetimiza muongo mmoja ulioghubikwa na madhila ya hali ya juu, mjumbe maalum wa Umoja wa Matyaifa nchini humo ameliambia Baraza la Usalama leo Jumatatu kwamba "Vita hivyo vitaingia katika historia kama vita vya vibaya zaidi na vilivyoghubikwa na kiza kikuu katika miaka ya hivi karibuniya hivi karibuni akimaanisha kwamba watu wa Syria kama waathirika wakubwa wa karne hii .