Mkimbizi kutoka Syria awa baraka kwa wenyeji wake Ufaransa
Mkimbizi raia wa Syria ambaye hivi sasa anaishi Ufaransa, amejizolea sifa kwa kuandaa chakula kwa ajili ya kuwasambazia wafanyakazi walioko katika mstari wa mbele wa kupambana na janga la COVID-19 katika nchi yake mpya.