Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Syria

Mwezi uliopita, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakiwa katika kikao kwa njia ya video kwa ajili ya kuijadili hali ya kisiasa nchini Syria.
UN Photo/Eskinder Debebe)

Makubaliano ya kuvusha misaada kwenda Syria yakifikia ukomo, Baraza la Usalama linachemsha bongo

Leo Julai 10 ndiyo siku ya ukomo wa azimio namba 2504 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaloidhinisha makubaliano ya shughuli za kuvusha misaada ya kibinadamu kupitia mpaka wa Uturuki kuingia Syria. Kutokana na umuhimu wa misaada hiyo, hali hiyo inaweka shinikizo kubwa kwa Baraza la Usalama kutafuta namna ya kuongeza muda zaidi wa uvushaji misaada ili kuokoa maisha ya watu. 

Sauti
1'39"