Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Syria

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataif kwa Syria, Geir O.pedersen akizungumza na wanahabari. (PIcha ya maktaba)
UN Photo/Evan Schneider

Natiwa moyo na angalau kuwepo kwa misimamo ya pamoja baina ya pande kinzani Syria- Pedersen 

Wajumbe wa pande kinzani nchini Syria wanaokutana mjini Geneva, Uswisi kwa lengo la kusaka suluhu ya kudumu na kumaliza mzozo wa takribani muongo mmoja nchini mwao, angalau wamekuwa na misimamo inayofanana itakayoweza kusongesha mbele majadiliano, amesema Geir Pedersen, Mjumbe Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa mzozo wa Syria.

 

Mwezi uliopita, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakiwa katika kikao kwa njia ya video kwa ajili ya kuijadili hali ya kisiasa nchini Syria.
UN Photo/Eskinder Debebe)

Makubaliano ya kuvusha misaada kwenda Syria yakifikia ukomo, Baraza la Usalama linachemsha bongo

Leo Julai 10 ndiyo siku ya ukomo wa azimio namba 2504 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linaloidhinisha makubaliano ya shughuli za kuvusha misaada ya kibinadamu kupitia mpaka wa Uturuki kuingia Syria. Kutokana na umuhimu wa misaada hiyo, hali hiyo inaweka shinikizo kubwa kwa Baraza la Usalama kutafuta namna ya kuongeza muda zaidi wa uvushaji misaada ili kuokoa maisha ya watu. 

Sauti
1'39"