Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Mabadiliko ya Tabianchi
Dunia haijafanya vya kutosha kushughulikia umaskini na mazingira
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, malengo yaliyowekwa na viongozi wa dunia mwaka 2015 kushughulikia umaskini na mazingira hayajatekelezwa ipaswavyo.
Ongezeko la joto ni mtihani kwa utendaji kazi ifikapo 2030:ILO
Makadirio kwa kuzingatia ongezeko la joto la dunia la nyuzi joto 1.5 kufikia mwishoni mwa karne hii yanaonesha kuwa kufika mwaka 2030, asilimilia 2.2 ya jumla ya muda wa saa za kazi kote duniani itapotea kutokana na joto kali, na ni hasara sawa na nafasi za kazi milioni 80. Maelezo zaidi na Patrick Newma
Msongo utokanao na ongezeko la joto utasababisha hasara sawa na kazi milioni 80 ifikapo mwaka 2030-“ILO
Makadirio kwa kuzingatia ongezeko la joto la dunia la nyuzi joto 1.5 kufikia mwishoni mwa karne hii yanaonesha kuwa kufika mwaka 2030, asilimilia 2.2 ya jumla ya muda wa saa za kazi kote duniani itapotea kutokana na joto kali, na ni hasara sawa na nafasi za kazi milioni 80. Maelezo zaidi na Patrick Newma
Shaka na shuku zimetawala dunia, mashauriano ni muhimu- Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mkutano wa kundi la mataifa 20, G20 unafanyika wakati ambapo shaka na shuku zimekumba dunia nzima katika nyanja zote kuanzia kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Mabadiliko ya tabianchi ni janga kwa wafugaji Uganda
Mabadiliko ya tabianchi ni janga ambalo linaikabili dunia hii leo ambapo Umoja wa Mataifa na washirika wake kupitia lengo nambari 13 la ajenda ya mwaka 2030 ya maendeleo endeleve au SDGs, wamekuwa msatari wa mbele kubonga bongo ili kutafuta suluhisho ikiwa ni pamoja na kuhamisha serikali na asasi mbalimbali kuweza kutafuta njia mbadala ya kupambana na janga hili.
IFAD yawajenga mnepo wakulima nchini Ethiopia.
Zaidi ya watu bilioni moja kote duniani wanaishi katika maeneo ambayo yana uhaba mkubwa wa maji, na watu wengine wapatao bilioni 3.5 watakabiliwa na changamoto kubwa ya uhaba wa maji ifikapo mwaka 2025 kwa mujibu wa takwimu za shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO na shirika la maendeleo ya kilimo IFAD.
24 Juni 2019
Katika Jarida la Habari hii leo Assumpta Massoi anakuletea
-Baraza la Haki za binadam laanza geneva kamishina Mkuu Michelle Bachelet ataka Cameroon tambueni wapinzani kama wadau wa mchakato wa amani
-Balozi mwema mpya wa UNHCR Mercy Masika asema atatumia kipaji chake kukirimu wakimbizi Kenya na kwingineko
-Kuwasaidia wakimbizi na wenyeji wao, ni njia nzuri ya kuwahudumia watu waliotawanywa Uganda yasema Benki ya Dunia
Tusipolinda matumizi ya bahari mabadiliko ya tabianchi yatatuatthiri vibaya:UN
Mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa wa matumizi ya baharí UNCLOS ukianza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Umoja wa Mataifa umetaka matumizi endelevu ya baharí kuu na eneo mahsusi la kiuchumi baharini ili kuepusha madhara zaidi ya mabadiliko ya tabianchi.
Uhifadhi wa mazingira ya baharí ni muhimu katika maeneo yote- Tanzania
Mkutano wa 20 wa nchi wanachama wa mkataba wa kimataifa wa matumizi ya baharí UNCLOS ukianza leo kwenye makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani, Umoja wa Mataifa umetaka matumizi endelevu ya baharí kuu na eneo mahsusi la kiuchumi baharini ili kuepusha madhara zaidi ya mabadiliko ya tabianchi.
Akiwa Urusi Guterres aonya dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi na kudorora kwa uchumi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameainisha changamoto za utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu SDG’s na kukumbusha umuhimu wa ushirikiano wa kimataifa kwenye jukwaa la kimataifa la kiuchumi 2019 (SPIEF) linalofanyika huko St. Petersburg nchini Urusi.