Lengo namba 13 la malengo ya maendeleo endelevu, SDGs linataka uhifadhi wa mazingira kwa kuchukua hatua muafaka. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres akiwa ziarani katika nchi zilizoko ukanda wa pasifiki anapaza sauti ya kile kinachopaswa kufanywa kwa ubia ili kulinda sayari dunia kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
Mabadiliko ya Tabianchi
Ulimwengu wa tenesi wajipanga kupambana na mabadiliko ya tabianchi:UN
Mashindano makubwa kabisa manne ya mpita wa tenesi duniani yashikamana kupambana na mabadiliko ya tabianchi kwa kujiunga na mkkati wa kimataifa wa kuchukua hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi katika michezo.
Ujenzi mpya Msumbiji baada ya Idai na Kenneth wahitaji mabilioni:UNDP
Serikali ya Msumbiji leo inafanya mkutano wa kimataifa wa ufadhili mjini Beira kwa ajili ya kuomba msaada wa ujenzi mpya wa kijamii, uzalishaji na miundombinu baada ya athari za vimbunga Idai na Keneth.
Chonde chonde walio hatarini si wakazi wa Tuvalu pekee bali sayari nzima ya dunia- Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameendelea kupigia chepuo suala la kila mkazi wa dunia pamoja na serikali kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi nchi, akisema kutochukua hatua si mbadala.
Komesheni ruzuku kwa sekta ya mafuta na matumizi ya fedha za watoa ushuru kutokomeza dunia- Guterres
Tunahitaji kutoza kodi uchafuzi wa hewa lakini sio watu na kukomesha ruzuku kwa sekta ya mafuta, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres hii leo Jumanne kwenye kongamano la dunia la muungano wa R20, shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa lilioanzishwa na aliyekuwa gavana wa California nchini Marekani Arnold Schwarzenegger.
Tusipolinda bayoanuai dunia nzima itakuwa mashakani:UN
Bayoanuai ni muhimu sana kwa afya ya binadamu na mustakbali wa dunia amesema leo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres katika ujumbe wake kwa ajili ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya bayoanuai akisisitiza kuwa sisitiza kuwa na viumbe vingine vyote katika mfumo wa maisha.
Guterres atoa wito kwa viongozi kuchukua maamuzi yenye busara kulinda dunia dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres amehitimisha ziara yake ya wiki moja katika visiwa vya pasifiki huku akitoa wito kwa viongozi wa dunia kufanya maamuzi yaliyo na busara kwa ajili ya hatua dhidi ya mabadiliko ya tabianchi kwa sababu sayari dunia nzima ipo hatarini.
Hatua dhidi ya athari ya mabadiliko ya tabianchi Kenya
Dunia imeadhimisha siku ya familia Mei 15, mwaka huu ikibeba kaulimbiu familia na hatua katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hatua hii ni kufuatia mabadiliko ya tabiachi yanayoshuhudiwa duniani kote huku athari zake zikiwakumba watu wote. Grace Kaneiya amezungumza na familia moja huko nchini Kenya ambao wanashiriki kilimo lakini pia ni wafugaji huku wakichukua hatua kulinda mazingira, Je wamechukua hatua zipi? Basi sikiliza makal ifuatayo kwa undani zaidi.
Tuvalu nathamini jitihada zenu za mnepo dhidi ya mabadiliko ya tabianchi:Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema anathamini na kutiwa moyo na jitihada zinazofanywa na serikali ya kisiwa cha Tuvalu katika vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.
Ni kwa nini watu hawaachi kutumia vitu ambavyo ni chachu ya mabadiliko ya tabianchi?
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ambaye bado yuko ziarani nchini Fiji leo amekuwa na shughuli mbalimbali ikiwemo kuhutubia bunge la nchi hiyo, kuwa na mkutano wa pamoja na Waziri mkuu pamoja na kuzungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha South Pacific mjini Suva.
Iweje utake kuendelea kula nyama ilhali ukijua uzalishaji wake unaharibu sayari dunia?
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ambaye bado yuko ziarani nchini Fiji leo amekuwa na shughuli mbalimbali ikiwemo kuhutubia bunge la nchi hiyo, kuwa na mkutano wa pamoja na Waziri mkuu pamoja na kuzungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha South Pacific mjini Suva.