24 Juni 2019
Pakua
Katika Jarida la Habari hii leo Assumpta Massoi anakuletea
-Baraza la Haki za binadam laanza geneva kamishina Mkuu Michelle Bachelet ataka Cameroon tambueni wapinzani kama wadau wa mchakato wa amani
-Balozi mwema mpya wa UNHCR Mercy Masika asema atatumia kipaji chake kukirimu wakimbizi Kenya na kwingineko
-Kuwasaidia wakimbizi na wenyeji wao, ni njia nzuri ya kuwahudumia watu waliotawanywa Uganda yasema Benki ya Dunia
-Makala yetu leo inatupeleka Ethiopia ambako mradi wa umwagiliaji wa shirika la maendeleo ya kilimo IFAD waleta nuru kwa wakulima dhidi ya mabadiliko ya tabianchi
-Mashinani tuko DRC utamsikia mlinda amani kutoka Tanzania akizungumzia mchango wao.
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Sauti
10'50"