Mahojiano maalum kuelekea siku ya kimataifa ya lugha ya Kiswahili - BAKITA
Kuelekea siku ya lugha ya Kiswa duniani itakayoadhimishwa Ijumaa wiki hii Afisa habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa nchini Tanzania UNIC Dar es salaam amefunga safari hadi kwenye Baraza la Kiswahili la Taifa nchini humo BAKITA lenye wajibu mkubwa wa kuendelea na kukuza lugha hiyo adhimu sio Tanzania na Afrika tu bali duniani kote na kuketi chini na mhariri mwandamizi wa Baraza hilo Onni Sigalla. Wamejadili mengi lakini Onni anaanza kufafanua jukumu lake BAKITA.