Nyanduga: Ibara ya 1 inabeba tamko la haki za binadamu kila nchi inawajibika kuitekeleza
Pakua
Mwaka huu 2023 tamko la haki za binadamu lililopotishwa katika azimio la mwaka 1948 linatimiza miaka 75. Msingi wa azimio la tamko hilo ilikuwa ni vita ya pili ya Dunia ambayo iliifanya dunia kutafakari nje ya kuhakikisha haki, Amani na utulivu vinadumishwa duniani. Kwa kutambua mchango wa tamko hiloleo tunaangazia ibara ya kwanza. Kuchambua ibara hiyo Stella Vuzo afisa habari wa kitucho cha habari cha Umoja wa Mataifa nchini Tanzania UNIC Dar es slaam ameketi na mwanasheria au wakili Bahame Tom Nyanduga ambaye pia aliwahi kuwa mwakilishi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia. Kwako Stella!
Audio Credit
Selina Jerobon/Stella Vuzo
Audio Duration
7'1"