Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahojiano

UN Tanzania

Tenda wema nenda zako, msichana Aneth ambaye kitendo chake kimeendelea kuwasaidia wanafunzi viziwi, Chuo Kikuu cha Dare es Salaam

Katika mahojiano kati ya Ahimidiwe Olotu wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa na Aneth Gerana Isaya, msichana kiziwi ambaye ushauri wake alioutoa alipojiunga katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, umeendelea kuwasaidia viziwi wote wanaojiunga kwa masomo katika Chuo hicho kikongwev cha elimu ya juu nchini Tanzania. Aneth pia ni Mwanzilishi wa shirika la Furaha kwa Wanawake Viziwi Tanzania FUWAVITA. Aneth Isaya anaanza kwa kueleza hatua ambazo wameshapiga katika harakati za kupigania usawa wa kijinsia hususani kwa wanawake wenye ulemavu.

Sauti
6'51"