20 Oktoba 2021
Karibu uungane na Assumpta Massoi akikuletea mada kwa kina mahsusi ikimulika harakati za Umoja wa Mataifa za kuimarisha afya na kuinua kipato mashinani.
Pia utapata fursa ya kusikia habari kwa ufupi zikieleza kuuawa kwa watoto nchini Syria katika Shambulio, msaada wa kibinadamu kwa nchi ya Madagascar na mkutano wa Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa unaoongozwa na Kenya.