14 OKTOBA 2021
Pakua
Katika Jarida la Habari za UN hii leo Assumpta Massoi anakuletea
-Janga la corona au COVID-19 limerudisha nyuma jitihada za kutokomeza kifua kikuu au Tb limeonya shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO
-Kuelekea siku ya wanawake wa kijijini hapo kesho Oktoba 15 utawasikia wanawake kutoka Tanzania wakielezea changamoto za COVID-19 katika kujikimu kimaisha
-Takwimu mpya zionaonyesha wagonjwa wa COVID-19 wamepungua lakini bado kuna nchi kama Burundi na Korea Kaskazini hazijaanza kutoa chanjo dhidi ya gonjwa hilo
-Makala leo inatupeleka Uganda kwa mkimbizi ambaye sasa anachuuza mitumba ili kujikimu kimaisha baada misaada kwa wakimbizi kupunguzwa
-Mashinani leo tunaelekea Kenya katika hospitali ya Kapenguria kaunti ya Pokot
Audio Credit
UN News/Assumpta Massoi
Audio Duration
15'59"