Mtu kwao, wakimbizi waliokimbia machafuko Sudan Kusini wanaendelea kurejea nyumbani
Wakati hali ya kupungua kwa mizozo ikishuhudiwa nchini Sudan Kusini tangu kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya amani mwezi Septemba mwaka jana wa 2018,, familia nyingi zimekata kauli ya kurejea nyumbani. Priscilla Lecomte na taarifa zaidi.