Amal Jazz Band, bendi ya muziki inayoeneza amani Malakal, Sudan Kusini.
Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini, UNMISS, wanashirikiana na washirika wake wa amani, watu wa Sudan Kusini, kuleta sauti zinazotetea amani ya kudumu katika nchi mpya zaidi ulimwenguni lakini inayoendelea kuteseka na migogoro, vifo na kutawanywa, miaka kadhaa tangu vita ya wenyewe kwa wenyewe.