Mwakilishi wa UN wa vijana awatembelea vijana Sudan Kusini katika kambi ya ulinzi wa raia
Mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya vijana Jayathma Wickramanayake amewatembelea vijana wakimbizi wa ndani Sudan Kusini wanaoishi katika kambi ya ulinzi wa raia ya Umoja wa Mataifa karibu na mji mkuu Juba na kusikiliza kilio chao.