Simu zatumika kukabiliana na Ebola maeneo hatarishi DRC
Shirika la afya duniani WHO limezungumzia mbinu inazochukua ili kufikia walengwa wa chanjo na huduma za kinga dhidi ya Ebola watu walio katika maeneo hatarishi kiusalama huko Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.