Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

DR Congo

Samaki waliovuliwa kwenye shamba la samaki la familia kufuatia mfumo wa umwagiliaji unaovuta maji kutoka mto ulio jirani.
UN Photo/Logan Abassi

Mafunzo na fedha taslimu kutoka UNHCR vyarejesha tabasamu kwa wakimbizi Côte d’Ivoire

Nchini Cote d’Ivoire  shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limeleta tabasamu na nuru kwa wakimbizi ambao biashara zao zilivurugika kutokana na janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19 ambalo limetikisa dunia kuanzia mwaka jana wa 2020. Kwa sasa wakimbizi hao wakiwemo wa kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, DRC wana imani ya kujiinua tena kiuchumi.

Sauti
2'39"