Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Makala Maalum

Mvulana akitembea kwenye vifusi vya nyumba zilizoharibiwa katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
© UNICEF/Eyad El Baba

Mwaka 2024 tishio kwa watoto: Ripoti ya UNICEF

Duniani kote mwaka 2024, watoto wanatarajiwa kuona kuongezeka kwa matukio ya ghasia, vita na matatizo ya kiuchumi, linasema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF), katika utafiti uliotolewa siku ya Jumatatu ya Januari 15, 2024.

Wahudumu wa afya ni kiungo muhimu katika kutokomeza saratani ya shingo ya kizazi
Pan American Health Organization

Udadavuzi: Saratani ya shingo ya kizazi 

Shirika la Umoja wa Mataifa la afya ulimwenguni WHO limetangaza kuwa mwezi wa Januari ni mwezi wa kuhamasisha jamii kuhusu saratani ya shingo ya kizazi. Makala hii inaangazia kuhusu ugonjwa huo, unasababishwa na nini, tiba yake pamoja na jinsi ya kujikinga.