Huduma ya bure ya ugonjwa wa kisukari yaokoa maisha ya vijana Kenya:WHO
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linasema huduma za bure za matitabu ya ugonjwa wa kisukari zimekuwa mkombozi mkubwa wa maisha hasa ya vijana wanaokabiliwa na ugonjwa huo nchini Kenya.