UN tunaisaidia DRC ili kuhakikisha uchaguzi wa amani na huru: Keita
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC inatarajia kufanya uchaguzi mkuu wiki hii tarehe 20 Desemba, ambapo kura zitapigwa kuchagua Rais mpya lakini pia wabunge wa kitaifa, wa majimbo na serikali za mitaa.