Mzunguko wa machafuko Gaza lazima ukome: Bi Mohammed
Mzunguko wa machafuko Gaza haumsaidii mtu yeyote na ni lazima ukome, amesema leo naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, akitoa wito kwa kila mmoja mwenye hisa katika amani ya Mashariki ya Kati kujizuia na kuepusha vifo zaidi hususani vya watoto.