Maji yawaweka huru wanawake kijijijni Ankilinanjosoa huko Madagascar
Ikiwa leo ni siku ya Siku ya Maji, duniani, mkulima Tenefo Votsirasoa kutoka maeneo ya kijiini huko Madagascar anaelezea ni kwa viji maji ni kila kitu kwake yeye, baada ya kunufaika na mradi wa umwagiliaji mazao uliofadhiliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF.