Kandanda huweka hai ndoto za watoto wakimbizi katika kambi ya Kakuma Kenya
Jua linazama kuelekea katika uwanja wa mpira katika kambi ya wakimbizi ya Kakuma kaskazini-magharibi mwa Kenya, mchezaji mmoja - Abdirahman Sheuna - anajitokeza sio tu kwa ustadi wake wakusakata kabumbu lakini kwa sababu wengi wa wachezaji wanajirusha juu yake wakishangilia ushindi.