Umuhimu wa Shirika la afya la Umoja wa Mataifa katika wakati huu wa janga la Corona
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa limechukua jukumu muhimu katika kukabiliana na janga la COVID-19, tangu mgonjwa wa kwanza alipotangazwa katika mji wa China, Wuhan mnamo mwezi Desemba mwaka jana 2019. Kwenye mkutano na waandishi wa habari mkuu wa Shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO, Dkt Tedros Adhanom Ghebreyesus, anazitaja sababu tano za umuhimu wa Shirika la afya la Umoja wa Mataifa katika wakati huu wa Janga la Corona kuwa ni: