Hatua dhidi ya athari ya mabadiliko ya tabianchi Kenya
Pakua
Dunia imeadhimisha siku ya familia Mei 15, mwaka huu ikibeba kaulimbiu familia na hatua katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hatua hii ni kufuatia mabadiliko ya tabiachi yanayoshuhudiwa duniani kote huku athari zake zikiwakumba watu wote. Grace Kaneiya amezungumza na familia moja huko nchini Kenya ambao wanashiriki kilimo lakini pia ni wafugaji huku wakichukua hatua kulinda mazingira, Je wamechukua hatua zipi? Basi sikiliza makal ifuatayo kwa undani zaidi.
Audio Credit
Assumpta Massoi/ Grace Kaneiya
Audio Duration
5'26"