Ujenzi mpya Msumbiji baada ya Idai na Kenneth wahitaji mabilioni:UNDP
Pakua
Serikali ya Msumbiji leo inafanya mkutano wa kimataifa wa ufadhili mjini Beira kwa ajili ya kuomba msaada wa ujenzi mpya wa kijamii, uzalishaji na miundombinu baada ya athari za vimbunga Idai na Keneth.
Sauti
2'18"