Katika makala ya wiki hii tunamulika hatua zinazochukuliwa na Umoja wa Mataifa na wadau wake kutekeleza tamko la haki za binadamu la mwaka 1948 ambalo mwaka huu limetimiza miaka 72.
Leo tunamulika ni kwa jinsi gani uwepo wa kikosi cha kujibu mashambulizi, FIB cha ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC,
Leo ni siku ya watoto duniani ikimulika kile ambacho kila mtu anafanya kuhakikisha kuwa dunia ni salama kwa mtoto wakati huu wa janga la ugonjwa wa Corona au COVID-19.
Tukielekea siku ya kisukari duniani hapo kesho shirika la afya la Umoja wa Mataifa WHO linasema idadi ya wagonjwa wa kisukari duniani inaongezeka na ugonjwa h
Loise Wairimu, ni msichana ambaye alifunga safari kutoka Kenya kuja hapa jijini New York Marekani katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa ili apate mafunzo kwa vitendo.
Kuelekea siku ya afya ya akili duniani itakayoadhimishwa kesho Jumamosi Oktoba 10, takwimu zinaonesha kuwa takribani watu bilioni 1 duniani kote wanaishi na matatizo ya akili.
Katika makala ya wiki hii tunakwenda Nairobi nchini Kenya, mwandishi wetu Jason Nyakundi anamulika harakati za kukabiliana na virusi vya Corona au COVID-19 na changamoto zitokanazo na hatua z
leo kwenye mada kwa kina tutamsikiliza mtaalamu wa afya upande wa tatizo la usonji akitueleza kinagaubaga kuhusu tatizo hilo.Godfrey Kimathi ni mtaalamu mbobevu wa maswala ya usonji, pia ni rais wa wataalam wa usonji nchini Tanzania anaanza kwa kueleza usonji ni nini na dalili zake ni zipi?