Sasa ni mada kwa kina tukimulika kile ambacho Kenya, Burundi na Tanzia zimewasilisha mbele ya viongozi w anchi 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa wakati wiki hii ya mjadala mkuu kwa lengo la kufanikisha ajenda ya maendeleo endelevu SDGs sambamba na amani, usalama na haki za binadamu.
Suala la mabadiliko ya tabianchi ni changamoto ambayo nchi zinakabiliana nazo kote ulimwenguni. Umoja wa Mataifa kupitia mashirika uko mstari wa mbele sio tu kuchagiza kuhusu ulinzi wa mazingira lakini pia kushirikiana na nchi kukabiliana na athari hizo.
Mapema wiki hii dunia imeadhimisha siku ya kupinga usafirishaji haramu wa binadamu huku Umoja wa Mataifa ukiutaja kama uhalifu mkubwa unaoshuhudiwa katika kila pembe ya dunia. Vita, mabadiliko ya tabicnhi,
Ingawa vitendo vya watu wenye nia ya uovu wa kuwashambulia watu wenye ualbino kuonekana kupungua, bado watu wenye ualbino wanaishi kwa mashaka na hofu kutokana na madhila wanayopitia katika maisha yao ya kila siku.