06 DESEMBA 2022
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na tukiwa tungali katika siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na wasichana duniani, tunamulika wale wanaowapokea manusura wa ukatili wa kijinsia nchini Kenya. Pia tunakuletea habari kwa ufupi na mashinani kutoka Uganda.