29 DESEMBA 2023
Miongoni mwa yaliyomo kwenye Jarida la Habar iza UN:
Kikosi cha kwanza cha SADC chawasili DRC.
ILO yanusuru wanawake na mfumo wa utumwa nchini Niger.
Makala leo tunakwenda Kenya kumulika jinsi mfumo wa fedha wa kuwezesha wakulima kukabiliana na kuhimili madhara ya mabadiliko ya tabianchi.
Na mashinani na fursa ni yake Agnes Abisa, Afisa Habari na Mawasiliano wa YUNA ambayo ni Jumuiya ya Vijana ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania.