30 DESEMBA 2022
Jaridani leo Ijumaa ya tarehe 30 mwezi Desemba mwaka 2022 tunakuletea habari za maombolezo na pia ya uteuzi wa naibu mkurugenzi mtendaji mpya wa UNEP. Makala tunaelekea nchini Kenya katika makazi ya wakimbizi ya Kalobeyei na mashinani tunaangazia haki za wanawake na wasichana Afghanistan.