31 DESEMBA 2020
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa hii leo Anold Kayanda anakuletea salamu za mwisho wa mwaka kutoka kwa wafanyakazi
-Wanazungumzia mambo mbalimbali ikiwemo malengo ya maendeleo endelevu SDGs
-Je mwaka 2020 umekuwaje?
-Nini changamoto kubwa iliyokabili kazi zao kwa mwaka 2020
-Mashinani washirika wetu na maripota wetu wanasemaje?
-Na nini msikilizaji, mtazamaji, na mfuatiliaji wa vipindi vya Umoja wa Mataifa atarajie mwaka 2021