Mwakilishi maalumu wa UM kwa Palestina ajiuzulu
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa mataifa kuhusu haki za binadamu kwa eneo linalokaliwa la Palestina Makarim Wibisono, leo amewasilisha barua yake ya kujiuzulu rasmi kuanzia tareje 31 Machi 2016, kwa Rais wa baraza la haki za binadamu.