Lugha ya Kiswahili yazidi kuenea kwenye medani za kimataifa
Pakua
Kwa mara ya kwanza ripoti ya Maendeleo ya binadamu inayoandaliaw na shirika la mpango wa maendeleo la Umoja wa Mataifa imekuwa na muhtasari wake katika lugha ya Kiswahili. Uzinduzi wa muhtasari huo ulifanyika Kilifi, Mombasa Kenya tarehe 12 mwezi huu wa Juni na siku ya Alhamisi ya tarehe 20 Juni mjini New York Marekani, ubalozi wa Kenya ukafanya uwasilishaji wa muhtasari huo. Je nini kilijiri? Ungana na Assumpta Massoi katika makala hii ya wiki.
STUDIO: ASSUMPTA pckg