Tume ya Wataalamu imeonya vikwazo dhidi ya JKK (DRC) bado vinaendelea kuharamishwa.
Tume ya Wataalamu wanaohusika na vikwazo dhidi ya JKK (Congo-DRC) wamedhihirisha ripoti mpya yenye kuthibitisha kuharamishwa vikwazo vya silaha vinavyoendelezwa na wageni pamoja na raia katika Congo-DRC.