Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNEP yafanyisha warsha wa kudhibiti mazingira Sudan.

UNEP yafanyisha warsha wa kudhibiti mazingira Sudan.

Shirika la UM juu ya Hifadhi ya Mazingira (UNEP) wiki hii lilifanyisha warsha wa siku mbili mjini Khartoum, Sudan kuwapatia fursa wataalamu wahusika kubadilishana mawazo na fikra za kutunza na kuimarisha mazingira maumbile ya taifa,