Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Kuteketea makazi ya Kotobi ni msumari wa moto juu ya kidonda:UNMISS

Nchini Sudan Kusini baadhi ya jamii za waliotawanywa na machafuko wamejikuta hawana pa kulala baada ya makazi yao kusalia majivu yalipoteketezwa na moto. Kwa mujibu wa mpango wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS watu hao awali walilazimika kuhama walikokuwa wakiishi kufuatia operesheni za kijeshi na sasa hawana pa kukimbilia. Siraj Kalyango na tarifa kamili