Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Mkimbizi wa ndani nchini Msumbiji akipokea msaada wa chakula
© WFP/Grant Lee Neuenburg

Kuisaidia WFP ni kuwasaidia wakimbizi kama Adu

Mkimbizi wa ndani Abbas Adu na wengine 400,000 wamelishukuru Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula WFP kuwapatia msaada wa chakula wakati huu ambapo WFP imepaza sauti kwa wahisani kusaidia wananchi Milioni 41 wanaokabiliwa na njaa kutokana na hali mbaya ya hewa ambayo imeathiri mavuno yao na hivyo kukosa chakula.

Sauti
2'2"