Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Taswira kutoka juu ya mafuriko katika kambi ya wakimbizi ya Alganaa kwenye jimbo la White Nile nchini Sudan.
UNHCR Video

Hatujawahi kuona mafuriko kama  haya Sudan- Mkazi White Nile

Tumeishi hapa tangu miaka ya 1950 na katu hatujawahi kushuhudia mafuriko kama haya, amesema mkazi wa jimbo la White Nile nchini Sudan ambako mafuriko makubwa yamesababisha wakimbizi wa ndani kusaka hifadhi kwa wenyeji wao huku shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na wadau wakiendelea kusambaza misaada ya kibinadamu. John Kibego na maelezo zaidi.

 

Sauti
2'2"