Kampeni ya chanjo ya Polio Sudan Kusini yaendelea vizuri
Awamu ya pili ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Polio nchini Sudan Kusini iliyoanza tarehe 16 mwezi huu wa Februari inaendelea vizuri ikilenga watoto zaidi ya milioni 28 wenye umri wa kuanzia siku ya kuzaliwa hadi chini ya umri wa miaka mitano.