Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

UNMAS wakitegua mabomu katika eneo la Equatoria mashariki nchini Sudan Kusini. Pichani ni eneo shambani ambako kilipuzi kimebainika
UNMISS\Nektarios Markogiannis

Mabaki ya silaha za vita yaliyozagaa Sudan Kusini ni tishio kubwa la usalama wa raia:UNMAS 

Nchini Sudan Kusini wakati sasa milio ya risasi inaweza kuwa imepungua katika baadhi ya maeneo ya taifa hilo, jinamizi la vita vya wenyewe kwa wenyewe bado linawaandama hasa kwa kuzagaa kwa manbaki ya silaha za vita kama mabomu ya kutegwa ardhini na vifaa vingine vya mlipuko, ambavyo kwa mujibu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayochukua hatua dhidi ya mabomu ya kutegwa ardhini UNMAS ni tishio la kila siku kwa maisha ya wanawake, watoto na wanaume kwenye maeneo mbali mbali nchini humo 

Sauti
2'11"