Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Sudan Kusini

Mkimbizi wa ndani nchini Msumbiji akipokea msaada wa chakula
© WFP/Grant Lee Neuenburg

Kuisaidia WFP ni kuwasaidia wakimbizi kama Adu

Mkimbizi wa ndani Abbas Adu na wengine 400,000 wamelishukuru Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa chakula WFP kuwapatia msaada wa chakula wakati huu ambapo WFP imepaza sauti kwa wahisani kusaidia wananchi Milioni 41 wanaokabiliwa na njaa kutokana na hali mbaya ya hewa ambayo imeathiri mavuno yao na hivyo kukosa chakula.

Sauti
2'2"
Sera ya Umoja wa Mataifa ya kutovumilia kabisa ukatili na unyanyasaji wa kingono
United Nations

Amani ni rasilimali adimu ambayo wengi wanaililia:Muhudumu wa kujitolea Gbambi

Kutana na mfanyakazi wa kujitolea wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini Jason William Gbambi ambaye anafanyakazi kama afisa uhamasishaji wa timu ya maadili na nidhamu ya mpango wa Umoja wa Mataifa nchini humo UNMISS. Anasema kufanyakazi ya kujitolea ni kukumbatia jamii na kutambua mahitaji yao na hasa amani ambayo ni adumu nchini humo. Flora Nducha na taarifa zaidi 

Sauti
2'36"