UNMISS yasambaza tenki za maji sokoni kudhibiti COVID-19 Juba Sudan Kusini
Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS, katika kuunga mkono juhudi za kitaifa za kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona au COVID-19, wamesambaza tenki za maji katika maeneo ya soko yenye msongamano wa watu mjini Juba.