Mfuko wa UN waleta nuru kwa maelfu ya manusura wa ukatili wa kingono
Takriban watu 3,340 wakiwemo wanawake, watoto na wanaume wamenufaika na mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kusaidia manusura wa vitendo vya ukatili wa kingono vilivyofanywa na wafanyakazi wa umoja huo.