Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Burundi

Katika viunga vya mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott, bustani ya mapangaboi ya kuzalisha umeme kwa njia ya upepo  yanaonekana kwa mbali na ni jawabu sahihi katika kuwa na nishati rejelezi
UNDP Mauritania/Freya Morales

Safari ya kuanzia UNFCCC hadi COP25:

Mabadiliko ya tabianchi yanatokea. Joto duniani sasa hivi ni nyuzi joto 1.1 zaidi ya ilivyokuwa mwanzoni mwa mapinduzi ya viwanda, na tayari linaleta madhara makubwa kwa ulimwengu, na kwa maisha ya watu. Ikiwa kiwango cha sasa kitazidi, basi kiwango cha joto duniani kinaweza kuongezeka kwa nyuzi joto 3.4 hadi 3.9 kwenye kipimo cha selsiyasi katika karne hii, kiwango ambacho kinaweza kusababisha madhara makubwa zaidi na yenye uharibifu kwa tabianchi.

Wanawake wakiteka maji katika mradi wa maji uliofadhiliwa na shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dolow nchini Somalia. IOM, WFP na mashirika mengine waliweze kusaidia mahitaij ya wakimbizi hao kutokana na mfu
WFP/Georgina Goodwin

Kuchangia CERF ni uwekezaji bora zaidi- Guterres

Kuwekeza katika mfuko wa dharura wa Umoja wa Mataifa, CERF si tu kunafanikisha usaidizi wa kibinadamu bali pia ni kuwekeza katika kuboresha kazi za chombo hicho chenye wanachama 193, amesema Katibu Mkuu Antonio Guterres jijini New  York, Marekani hii leo wakati akifungua kikao cha ngazi ya juu cha kuchangia mfuko huo  ulioanzishwa mwaka 2006.

Rangi ya buluu iliangaza ndani ya ukumbi wakati wa maadhimisho ya miaka 30 ya mkataba wa kimataifa wa haki za mtoto, CRC.
UN Photo/Manuel Elías

Rangi ya buluu ikitawala, Beckham asema "siku zijazo ni za watoto wetu hivyo tutunze ndoto zao"

Mustakabali si wa kwetu bali ni wa watoto wetu kwa hiyo tuchukue hatua zaidi kulinda ndoto za watoto, amesema David Beckham, Balozi mwema wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, wakati akihutubia hii leo kikao cha ngazi  ya  juu cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani kilichofanyika kuadhimisha miaka 30 tangu kupitishwa kwa mkataba wa haki za mtoto, CRC na sambamba na siku ya mtoto duniani,