Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali ya mgogoro katika Mashariki ya Kati.

Hali ya mgogoro katika Mashariki ya Kati.

Alkhamisi KM Kofi Annan aliwakilisha mbele ya Baraza la Usalama, katika kikao cha hadhara, ripoti maalumu kuhusu hali katika Mashariki ya Kati, taarifa ambayo inaelezea matokeo ya juhudi za ujumbe wa maofisa watatu wa vyeo vya juu wa UM, waliozuru Mashariki ya Kati karibuni, kwa madhumuni ya kutafuta taratibu za kuridhisha kusitisha mapigano haraka na kuwasilisha suluhu inayokubalika na wote wahusika na mgogoro huo.~

Kwa maelezo zaidi sikiliza taarifa kwenye mp3.