Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Habari Mpya

Haki za walemavu

Wiki hii kwenye Umoja wa Mataifa wajumbe kutoka pembe zote za dunia wanakutana hapa New York katika juhudi za kukamilisha mkataba wa kimataifa juu ya haki za walemavu.

UKIMWI - Mkutano wa Toronto

Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.

UKIMWI - Mkutano wa Toronto

Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.

UKIMWI - Mkutano wa Toronto

Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.

Amani itapatikana Afrika Magharibi kwa kuwapokonya silaha wapiganaji

Baraza la usalma la Umoja wa Mataifa wiki hii limesema upokonaji silaha na kuwarudisha katika maisha ya kawaida wapiganaji wa zamani na kukomesha tatizo kubwa la biashara haramu ya silaha ndogo ndogo ni hatua muhimu kabisa ambazo nchi za Afrika ya Magharibi zinabidi kuchukua ikiwa amani itadumishwa katika eneo hilo.