Haki za walemavu
Wiki hii kwenye Umoja wa Mataifa wajumbe kutoka pembe zote za dunia wanakutana hapa New York katika juhudi za kukamilisha mkataba wa kimataifa juu ya haki za walemavu.
Wiki hii kwenye Umoja wa Mataifa wajumbe kutoka pembe zote za dunia wanakutana hapa New York katika juhudi za kukamilisha mkataba wa kimataifa juu ya haki za walemavu.
Kama tunavyojua mkutano mkuu wa UM wa kumi na sita juu ya UKIMWI ulifanyika hivi karibuni katika mji wa Toronto, Kanada kuanzia tarehe 13 hadi 18 Agosti na kujumuisha wajumbe kadha kutoka pembe mbalimbali za kimataifa.
Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.
Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.
Suala la wanawake na watoto ilipewa kipaumbele kwenye mazungumzo ya Toronto, hasa kulitolewa mwito kuwapatia wanawake mamlaka zaidi ili waweze kujikinga kutokana na ghasia na tumiaji nguvu dhidi yao.
Katika makala ya leo tutazungumzia juu ya mkutano wa 16 juu ya UKIMWI unaomalizika huko Toronto Canada. Kwa wengi wanahisi mkutano ulifanikiwa ingawa hapakua na tangazo lolote la kupatikana tiba au dawa mpya ya kupambana na virusi vya HIV.
Katika makala ya leo tutazungumzia juu ya mkutano wa 16 juu ya UKIMWI unaomalizika huko Toronto Canada. Kwa wengi wanahisi mkutano ulifanikiwa ingawa hapakua na tangazo lolote la kupatikana tiba au dawa mpya ya kupambana na virusi vya HIV.
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Bwana Willam Lacy Swing ameeleza wasi wasi mkubwa kutokana na kutangazwa maneno ya chuki dhidi ya wazungu kwenye vyombo vya habari.
Juhudi za kidiplomasia zinaendelea katika Baraza la Usalama na katika miji mikuu ya nchi mbali mbali kujaribu kutafuta suluhisho la kusitisha mapigano kati ya Israel na wapiganaji wa Hezbollah huko Lebanon.
Baraza la usalma la Umoja wa Mataifa wiki hii limesema upokonaji silaha na kuwarudisha katika maisha ya kawaida wapiganaji wa zamani na kukomesha tatizo kubwa la biashara haramu ya silaha ndogo ndogo ni hatua muhimu kabisa ambazo nchi za Afrika ya Magharibi zinabidi kuchukua ikiwa amani itadumishwa katika eneo hilo.