Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Amani itapatikana Afrika Magharibi kwa kuwapokonya silaha wapiganaji

Amani itapatikana Afrika Magharibi kwa kuwapokonya silaha wapiganaji

Baraza la usalma la Umoja wa Mataifa wiki hii limesema upokonaji silaha na kuwarudisha katika maisha ya kawaida wapiganaji wa zamani na kukomesha tatizo kubwa la biashara haramu ya silaha ndogo ndogo ni hatua muhimu kabisa ambazo nchi za Afrika ya Magharibi zinabidi kuchukua ikiwa amani itadumishwa katika eneo hilo.