Chonde chonde viongozi wa Ukraine na Urusi nipokeeni nakuja tujadili kumaliza vita- Guterres
Katika harakati za kusaka suluhu kwenye vita vinavyoendelea nchini Ukraine, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametuma barua kwa viongozi wa Urusi na Ukraine ili aweze kufanya ziara katika nchi mbili hizo.