Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

Syria

Mfuko wa usaidizi wa dharura wa UN, CERF umesaidia kusambaza misaada ya dharura ya kibinadamu ikiwemo chakula kama nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, CAR ambako mgogoro usiomalizika umeacha wananchi bila mahitaij  ya kimsingi
MINUSCA/Nektarios Markogiannis

CERF ndio mkombozi na ahadi yetu kwa walionasa kwenye majanga- Guterres

Mkutano wa mwaka wa mfuko wa Umoja wa Mataifa wa usaidizi wa dharura kwa majanga yanayokumba binadamu, CERF  umefanyika leo jijini New York, Marekani ambapo Katibu Mkuu wa umoja huo, Antonio Guterres amesema CERF amesihi wahisani kuchangia zaidi ili kufikia lengo la uchangiaji la dola bilioni 1 kwa mwaka lililowekwa na Baraza Kuu la umoja huo miaka miwili iliyopita.